Wakati tukizisubiria saa chache zijazo 
ili kuifikia November 5,2015 kwaajili ya kushuhudia tukio la kitaifa la 
kuapishwa kwa rais mteule wa Tanzania kwa awamu ya tano DK. John Pombe 
 Magufuli,nakusogezea hii stori kutoka kwa aliyekuwa mgombea urais 
nchini kupitia chama cha “CHAUMA” Hasheem Rungwe ambaye amepanga 
kufungua kesi mahakama kuu ili iweze kutoa tafsiri ya nguvu ya tume ya 
uchaguzi kutohojiwa au kupelekwa mahakamani.
‘Mahakama 
itupe tafsiri ya sheria, wanamaana gani kwa kutuzuia kuihoji tume.? 
Demokrasia haikubaliani na hali hii, watu lazima waende mahali na vyombo
 vyenye mamlaka kutoa maamuzi viseme, hatuwezi kukaa kimya’ – Hasheem Rungwe
‘Sisi tunaenda mahakamani, kuomba mahakama iingilie kati ili watu wajue na tupate majibu” ;-Hasheem Rungwe
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment