Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki akizungumza mbele
ya wanahabari, madaktari na baadhi ya akina mama waliokuwa na watoto
waliozaliwa kabla ya wakati maarufu kama Njiti (Hawapo pichani). Kushoto
ni DoriS Mollel ambaye ni Mwanzilishi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya
Doris Mollel Foundation (DMF) na wengine ni maafisa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbili.
Baadhi
ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakishuhudia tukio hilo maalum
la taasisi ya DMF ilipotoa vifaa hivyo katika kitengo cha Jengo la
Watoto.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadik akipata maelezo juu ya vifaa hivyo vilivyotolewa na Taasisi ya DMF.
Msimamizi
wa wodi ya akina mama wanaopatiwa huduma ya Kangaroo dhidi ya watoto
wao ambao walizaliwa njiti, akimpatia maelezo Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam alipotembelea wodi hiyo leo.
Picha
ya juu na chini Mkuu wa Mkoa wa Dar e Salaam akiwafariji baadi ya
wakinamama waliojifungua watoto kabla ya wakati maarufu njiti wakati
alipotembelea wodi hiyo ya watoto mapema leo.
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam akimpatia zawadi ambayo ni jozi ya soksi kwa
ajili ya kusaidia watoto njiti kwa mmoja wa wamama waliokuwa katika
wodi hiyo ya watoto njiti.