Jaji mkuu wa Tanzania, Mohamed
 Chande Othman (wa tatu kutoka kulia) katika picha ya pamoja na 
watendaji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi 
walipomtembelea ofisini kwake hivi karibuni, Kulia kwake ni Katibu Mkuu 
Wizara ya Ardhi, Alphayo Kidata akifuatiwa na Subira Sinda Msajili wa 
Hati. Nyuma ya Katibu Mkuu ni David Mushendwa Kamishna wa ardhi Msaidizi
 Sheria, Blasia Kibano (Wa kwanza kulia) aliyekuwa Kaimu Mkuu wa Kitengo
 cha Sheria pamoja na Juma Lughela.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 
 
 
 
 

 
 
0 comments:
Post a Comment