Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao akisisitiza jambo kwa
waandishi wa habari alipokuwa akitangaza mikakati ya kampuni hiyo
kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa teknolojia na itakavyotumia
kubadilisha maisha ya watanzania na kuwa bora zaidi.Hafla hiyo
ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya waandishi wa habari na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakiwa
katika mkutano wa waandishi wa habari na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni
hiyo, Ian Ferrao (hayupo pichani)alipokuwa akitangaza mikakati ya
kampuni hiyo kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa teknolojia na
itakavyotumia kubadilisha maisha ya watanzania na kuwa bora zaidi.Hafla
hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment