Mkurugenzi
 Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao akisisitiza jambo kwa 
waandishi wa habari alipokuwa akitangaza mikakati ya kampuni hiyo 
kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa teknolojia na itakavyotumia 
kubadilisha maisha ya watanzania na kuwa bora zaidi.Hafla hiyo 
ilifanyika jijini Dar es Salaam.
 Baadhi
 ya waandishi wa habari na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakiwa 
katika mkutano wa waandishi wa habari na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni 
hiyo, Ian Ferrao (hayupo pichani)alipokuwa akitangaza mikakati ya
 kampuni hiyo kuipeleka Tanzania katika ulimwengu wa teknolojia na 
itakavyotumia kubadilisha maisha ya watanzania na kuwa bora zaidi.Hafla 
hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
 
 
 
 
 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment