Pages

Ads 468x60px

Wednesday, November 4, 2015

SIKU YA MWISHO YA RAIS KIKWETE KUFANYA KAZI IKULU



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya kazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam kwa mmara ya mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoka ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kufanya kazi katika siku ya mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.

Hasheem Rungwe kwenda mahakamani kuu ?, .



Wakati tukizisubiria saa chache zijazo ili kuifikia November 5,2015 kwaajili ya kushuhudia tukio la kitaifa la kuapishwa kwa rais mteule wa Tanzania kwa awamu ya tano DK. John Pombe  Magufuli,nakusogezea hii stori kutoka kwa aliyekuwa mgombea urais nchini kupitia chama cha “CHAUMA” Hasheem Rungwe ambaye amepanga kufungua kesi mahakama kuu ili iweze kutoa tafsiri ya nguvu ya tume ya uchaguzi kutohojiwa au kupelekwa mahakamani.
‘Mahakama itupe tafsiri ya sheria, wanamaana gani kwa kutuzuia kuihoji tume.? Demokrasia haikubaliani na hali hii, watu lazima waende mahali na vyombo vyenye mamlaka kutoa maamuzi viseme, hatuwezi kukaa kimya’ – Hasheem Rungwe
Sisi tunaenda mahakamani, kuomba mahakama iingilie kati ili watu wajue na tupate majibu” ;-Hasheem Rungwe

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SHARIFF SEIF HAMAD


 Rais Jakaya Kikwete ateta na makamu wa Kwanza  wa Rais  wa Zanzibar Maalim Shariff Seif Hamad kuhusu hali ya kisiasa Visiwani leo  asubuhi  Ikulu jijini dar es Salaam
Wakiwa katika picha ya pamoja.
 
Blogger Templates