skip to main |
skip to sidebar
SIKU YA MWISHO YA RAIS KIKWETE KUFANYA KAZI IKULU
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya
kazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam kwa mmara ya mwisho leo
Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano
anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoka ofisini kwake Ikulu jijini Dar es
salaam baada ya kufanya kazi katika siku ya mwisho leo Novemba 4, 2015
kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa
kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
0 comments:
Post a Comment