Mwanzilishi
 wa Mfuko wa Doris Mollel, Doris Mollel akizungumza katika kilele cha 
maazimisho ya siku ya watoto waliozaliwa kabla ya siku (njiti) katika 
mkutano ambao umefanyika leo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili 
(MNH). Kulia ni mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck 
Sadick.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick akizungumza kwenye maadhimisho hayo leo.
 Mkuu 
wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Wateja, Aminiel 
Aligaesha akifuatilia mkutano huo leo pamoja na wauguzi waandamizi wa 
hospitali hiyo.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment