Vijana
 wa YAM ( Youth Action Movement) ambao ni waandaaji wa tamasha hili 
linalofanyika kila mwezi wakionesha igizo lao lililobeba ujumbe unaosema
 ni jukumu la wazazi kuwaelimisha vijana juu ya afya ya uzazi na ujinsia
 ili kuwakinga na maambukizi ya VVU mimba katika umri mdogo na ngono 
katika umri mdogo.
Mwenyekiti
 wa UMATI dar es salaam Mr.Harith Shomvi ambae alikuwa mgeni rasmi 
 katika tamasha hilo akihutubia wananchi na kuwasisitiza wapate huduma 
za uzazi wa mpango na upimaji ambazo zilikuwa zikitolewa bure katika 
tamasha hilo. Tamasha hilo lilikuwa na kauli mbiu isemayo "JE kutoa 
 elimu  juu ya afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana ni jukumu la nani?
 
 
 
 
 
 



 
 
0 comments:
Post a Comment