Vijana
wa YAM ( Youth Action Movement) ambao ni waandaaji wa tamasha hili
linalofanyika kila mwezi wakionesha igizo lao lililobeba ujumbe unaosema
ni jukumu la wazazi kuwaelimisha vijana juu ya afya ya uzazi na ujinsia
ili kuwakinga na maambukizi ya VVU mimba katika umri mdogo na ngono
katika umri mdogo.
Mwenyekiti
wa UMATI dar es salaam Mr.Harith Shomvi ambae alikuwa mgeni rasmi
katika tamasha hilo akihutubia wananchi na kuwasisitiza wapate huduma
za uzazi wa mpango na upimaji ambazo zilikuwa zikitolewa bure katika
tamasha hilo. Tamasha hilo lilikuwa na kauli mbiu isemayo "JE kutoa
elimu juu ya afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana ni jukumu la nani?
0 comments:
Post a Comment