Pages

Ads 468x60px

Tuesday, November 17, 2015

JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI


 Vijana wa YAM ( Youth Action Movement) ambao ni waandaaji wa tamasha hili linalofanyika kila mwezi wakionesha igizo lao lililobeba ujumbe unaosema ni jukumu la wazazi kuwaelimisha vijana juu ya afya ya uzazi na ujinsia ili kuwakinga na maambukizi ya VVU mimba katika umri mdogo na ngono katika umri mdogo.
Mwenyekiti wa UMATI dar es salaam Mr.Harith Shomvi ambae alikuwa mgeni rasmi  katika tamasha hilo akihutubia wananchi na kuwasisitiza wapate huduma za uzazi wa mpango na upimaji ambazo zilikuwa zikitolewa bure katika tamasha hilo. Tamasha hilo lilikuwa na kauli mbiu isemayo "JE kutoa  elimu  juu ya afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana ni jukumu la nani?

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates