Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipohitimisha
maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Dayosi ya
Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa
Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim majaliwa akiwasha moja ya pikipiki tatu ili
kuashiria mkaka ti wa kueneza injili wakati alipohitimisha maadhimisho
ya miaka 20 ya kanisa la Africa Inland Church Dayosisi ya Pwani kwenye
ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere, Kilwa Road
jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akifurahia jambo na baadhi ya
viongozi wa kanisa la Africa Inland Church wakati alipohitimisha
maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi
ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho
wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015.
Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya viongozi wa
kanisa la Africa Inland Church wakati alipohitimisha maadhimisho ya
miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani
yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu
Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiwa na baadhi ya viongozi wa kanisa
la Africa Inland Church wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20
tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika
kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa
Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
0 comments:
Post a Comment