Waziri
  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza  wakati alipohitimisha 
maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Dayosi ya 
Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa 
Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha
 na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Majaliwa Kassim majaliwa akiwasha moja ya pikipiki tatu ili 
kuashiria mkaka ti wa kueneza injili wakati alipohitimisha  maadhimisho 
ya miaka 20 ya kanisa la Africa Inland Church Dayosisi ya Pwani kwenye 
 ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere, Kilwa Road
 jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.  
 Waziri
  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akifurahia jambo  na baadhi ya 
viongozi wa kanisa la Africa Inland Church  wakati alipohitimisha 
maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi
 ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho 
wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015.
Waziri
  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya viongozi wa 
kanisa la Africa Inland Church  wakati alipohitimisha maadhimisho ya 
miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani 
yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu
 Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na 
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akiwa na  baadhi ya viongozi wa kanisa
 la Africa Inland Church  wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 
tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika 
kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa
 Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri 
Mkuu)
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment