Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo 
Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan
 na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo 
Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan
 na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Kushoto 
kabisa ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
 
 
 
 
 
 






 
 
0 comments:
Post a Comment