Mkurugenzi
 wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Said Hassan maarufu kwa jina la Mkubwa 
Fella leo amekula kiapo cha kuwatumikia wakazi wa Kata y Kilungule kwa 
ngazi ya Udiwani. Baada ya kula kiapo hicho Fella alikua na haya ya 
kuzungumza "Kwanza nashukuru Mungu pili Wadau wangu wotekwa Kata yetu ya
 Kilungule, na Tasnia yetu ya sanaa nawashukuru wasanii wote walio 
nisapot pia namshukuru sana rafiki wetu wa wasanii Mh Jakaya Kikwete na 
Rafiki yangu January Makamba"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 
 
 
 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment