Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika 
hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi 
wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii na Jinsia, wazee na 
watoto, Ummy Mwalimu katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu
 Waziri , leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha waziri wa Katiba na Sheria, Harrison Mwakyembe katika hafla 
fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa 
Ikulu jijini Dar es Salaam. 
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Ashantu Kijaji katika 
hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar
 es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Ashantu Kijaji katika 
hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar
 es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimuapisha  Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba 
katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika 
ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimwapisha waziri wa Sera, Bunge, Kazi ,Vijana,Ajira na Walemavu, Dkt. 
Abdallah Possi katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, na manaibu 
Waziri leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli 
akimwapisha waziri wa Sera, Bunge, Kazi ,Vijana,Ajira na Walemavu, Dkt. 
Abdallah Possi katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, na manaibu 
Waziri leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri wa Aridhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI),Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri wa wizara ya  Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu), Jenista Mhagama katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha  waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Yusuf Makamba katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora. Angella Kairuki, katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.,Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Kikanda na Kimataifa Dkt. Augustine Mahiga katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha  Naibu wizara ya Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu), Antony Mavunde, katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Khamis Kigwangala katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Naibu Waziri wa wizara ya  Ofisi ya Rais (TAMISEMI, Utumishi & Utawala Bora) Jaffo Seleman Said katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

 
 
 
 
 
 
































 
 
0 comments:
Post a Comment