Rais
 Dkt.John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya 
kuwasili katika makao makuu ya Wizara ya Fedha(HAZINA) kwa ziara ya 
kushtukiza leo mchana.Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt.Servacius 
Likwelile.Rais Magufuli alitembelea na kukagua ofisi zote wizarani hapo 
na kisha kuongea na viongozi waandamizi.
 Rais
 Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na wafanyakazi wawili wa Wizara ya Fedha 
ambao ni walemavu Bwana Fundi Maruma na Frank Mkyama wakati Rais 
alipofanya ziara ya kushtukiza wizarani hapo leo.
Rais
 Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi waandamizi wa Wizara ya
 Fedha wakati alipofanya ziara ya kushtukiza Wizarani hapo ambapo alitoa
 maagizo ya kuziba mianya ya wakwepa kodi.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment