Pages

Ads 468x60px

Saturday, December 19, 2015

NEWZ ALERT.AJALI NYINGINE JIJINI MBEYA LEO ASUBUHI HII,ILIYOHUSISHA BASI LA HOOD NA BESTLINE NA LORI,HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA




 Magari matatu yamepata ajali mkoani Mbeya asubuhi ya leo iliyohusisha mabasi ya Hood ya Mbeya na Arusha na basi la Bestline linalofanya safari zake Mbeya na Mwanza pamoja na lori eneo la Inyala Mbeya
Katika ajali hiyo mtu mmoja amejeruhiwa vibaya na wengine kupata majeraha madogo madogo.

Kamanda wa polis Mkoani mbeya ACP AHMED MSANGI amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates