Pages

Ads 468x60px

Tuesday, December 22, 2015

MAJALIWA AKUTANA NA ASKOFU NGONYANI WA LINDI


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki la LindI Mhashamu, Anthony Ngonyani kwenye Ikulu ndogo ya Ruangwa Desemba 22, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi Mhashamu Anthony Ngonyani kwenye Ikulu ndogo ya Ruangwa Dasemba 22, 2015.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates