Mkurugenzi
 Msaidizi Kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni 
na Michezo Leah Kihimbi akitoa hotuba katika Warsha ya siku mbili kuhusu
 wasanii wanawake kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika 
ili kuhitimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea 
siku ya msanii Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Rais
 wa Shirikisho la Sanaa za Maonyesho Tanzania Agnes Lukanga akitoa mada 
katika warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake kupinga ukatili wa 
kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16 za kupinga 
ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania iliyofanyika
 jijini Dar es Salaam leo.
 
 
 
 
 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment