 Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa 
maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa jamii ya Albino zilizo pigwa 
katika kambi ya kuwahudumia Albino ya Kabanga.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa 
maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa jamii ya Albino zilizo pigwa 
katika kambi ya kuwahudumia Albino ya Kabanga. 
  Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakipongezana mara baada ya kukata utepe 
kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa 
jamii ya Albino zilizo pigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya 
Kabanga.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakipongezana mara baada ya kukata utepe 
kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa 
jamii ya Albino zilizo pigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya 
Kabanga. 
  Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakifurahia mara baada ya kukata utepe 
kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa 
jamii ya Albino zilizopigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya 
Kabanga.
Mkurugenzi
 Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Profesa Audax Mabulla (kushoto), Afisa 
Mtendaji Mkuu wa Under The Same Sun Bw. Peter Ash, Mwakilishi wa Benki 
ya Dunia Dkt. Yutaka Yoshino wakifurahia mara baada ya kukata utepe 
kuashiria uzinduzi rasmi wa maonyesho ya Picha za matukio ya watu wa 
jamii ya Albino zilizopigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya 
Kabanga. 
Mratibu
 wa Maonyesho ya Picha za Alibino kutoka Makumbusho ya Taifa Bibi. Flora
 Vicent akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa 
hafla ya uzinduzi wa maonyesho hayo jana jijini Dar es Salaam. Maonyesho
 hayo yanafanyika kuanzia tarehe 26 Novemba 2015 hadi tarehe 26 Januari 
2016
Katibu
 Mtendaji wa Bodi ya Filamu akifuatilia maelekezo ya Picha wakati hafla 
ya uzinduzi wa mmaonyesho ya picha maonyesho ya Picha za matukio ya watu
 wa jamii ya Albino zilizopigwa katika kambi ya kuwahudumia Albino ya 
Kabanga.
Wakiwa katika picha ya pamoja.
 
0 comments:
Post a Comment