Mganga
 Mkuu wa Jiji la Arusha, Dk Bakari Salum akifungua mkutano wa Wasaa wa 
Mazingira (Earth Hour City Challenges) kwa watumishi wa halmashauri ya 
Jiji la Arusha unaowajengea uwezo kuweka mipango inayoendana na 
mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika kwenye hotel ya Palace jijni Arusha
 kushoto ni Mratibu wa mradi wa nishati wa shirika la Utunzaji wa 
mazingira duniani(WWF- Tanzania)Dk Teresia Olemako.
Mratibu
 wa mradi wa nishati wa shirika la Utunzaji wa mazingira duniani(WWF- 
Tanzania)Dk Teresia Olemako akizungumza kwenye mkutano wa Wasaa wa 
Mazingira(Earth Hour City Challenges).
Afisa 
Uhusiano Mwandamizi wa Jiji la Arusha, Nteghenjwa Hoseah akiwasilisha 
mada ya namna Jiji hilo lilijipanga kuhakikisha linakua safi kwa 
kushirikiana na wadau na kulifanya kuwa kivutio cha watalii na wegeni 
wengine. 
Watumishi
 wa halmashauri ya Jiji la Arusha wakifatilia kwa makini mada zilizokuwa
 zikitolewa zenye lengo la kulifanya Jiji kuwa la mfano barani Afrika. 
 
 
 
 
 
 




 
 
0 comments:
Post a Comment