Pages

Ads 468x60px

Sunday, November 8, 2015

Rais Magufuli akutana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China


po2
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam leo.Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano(picha na Freddy Maro). 
po3
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipiga picha  na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam leo.Bwana Zhang alimwakilisha Rais wa China katika sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano kulia ni Balozi wa China nchini Tanzania Mh.  Lu Youqing  na kushoto ni  Mh.Balozi  Abdulrahman Shimbo Balozi wa Tanzania nchini China
po4
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akifanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala Cha China Mhe.Zhang Ping ikulu jijini Dar es Salaam

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates