Mkuu
 wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti 
vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani.  Mkuu
 wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti 
vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. 
Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emmanuel Kavishe.
 Mkuu
 wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti 
vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. 
Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emmanuel Kavishe.
 Mkuu
 wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti 
vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. 
Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emmanuel Kavishe.
 Mkuu
 wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi 
(NEC), Giveness Aswile, akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari Dar es Salaam leo, kuvishukuru vyombo vya habari kwa kuripoti 
vizuri katika kipindi chote cha uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani. 
Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Emmanuel Kavishe.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii. 
 TUME
 ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)imesema kuwa waandishi wamechangia kufanya 
uchaguzi kuwa haki na uhuru kutokana na kutoa taarifa zao bila kuegemea 
upande. 
 Akizungumza
 na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Idara ya
 sheria wa NEC, Emmanuel Kawishe amesema kuwa mwenendo wa uchaguzi tume 
ilifanya kuwa wazi kwa kuhakikisha wananchi wanapata habari kupitia 
vyombo habari.
 Amesema
 kuwa NEC haina uwezo wa kufikia watu milioni 26 kutokana na kuwepo kwa 
vyombo vya habari kwani vimekuwa ni daraja la kufanya wananchi wafikiwe 
na habari kwa wakati.
 Kawishe
 aliongeza kuwa katika kipindi chote cha uchaguzi amekuwa akishiri 
katika vyombo habari katika kutoa taarifa kwani bila kufanya hivyo zoezi
 la upigaji kura lisingekuwa rahisi kama wananchi wasingepata elimu ya 
mpiga kura.
 ’’Upigaji
 wa kura umeisha napita kwa kujidai na watu wengi wananikaribisha katika
 kushiriki hata kunywa kahawa nisingefanya hivyo kama vyombo vya habari 
vingeongea vibaya kuhusu mimi juu ya elimu niliyokuwa nikitoa katika 
vyombo hivyo.’’amesema Kawishe.
 Nae
 Mkuu wa Idara ya Habari NEC, Giveness Aswile amesema katika uchaguzi 
ujao watajipanga waandishi waweze kufika sehemu zote ili wananchi wajue 
kazi za tume.
 Amesema
 Tume imekuwa wazi na kufanya waandishi wajitume katika kutoa taarifa 
ambazo zimefanya uchaguzi kuwa wa wazi na huru zaidi kwa kupata habari 
katika kila hatua ambayo tume ilikuwa ikifanya.
 
 
 
 
 
 

 
 
0 comments:
Post a Comment