Rais Dkt. John Pombe Magufuli,
akimjulia hali mmoja wa wagonjwa waliolazwa kwenye hospitali ya taifa
Muhimbili jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara yake ya kushtukiza
aliyoifanya Novemba 9, 2015
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi
wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dkt.Helen Kijo Bisimba aliyelazwa
katika hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam leo Novemba 9, 2015. Dkt.
Bisimba aliujeruhiwa katika ajali gari jijini Dar es Salaam, Novemba 8 2015.
Rais pia alifanya ziara ya kushtukiza kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili,
MNH, ili kujionea yeye mwenyewe jinsi wafanyakazi wanavyotekeleza majukumu yao
katika kuhudumia Watanzania
Rais
Dkt.john Pombe Magufuli akizungumza na kuwapa moyo wauguzi katika hospitali ya
taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwajulia hali
wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara
ya kushtukiza hospitalini hap oleo na kuwafariji wagonjwa.
Rais akiagana na wauguzi na wafanyakazi wa hospitali ya taifa Muhimbili
Rais akipungia mkono, wagonjwa na wananchi wakati alipotembelea hospitali ya taifa Muhimbili
0 comments:
Post a Comment