Pages

Ads 468x60px

Wednesday, December 9, 2015

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo afungua maoyesho ya 10 ya filamu za Asia

 Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(wa tano  kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wa nchi za Asia katika uzinduzi wa maonyesho ya 10 ya filamu za Asia.
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua maonyesho ya 10 ya Filamu za Asia.Pembeni yake ni mabalozi wa nchi mbalimbali za Asia walihoudhuria uzinduzi huo.Maonyesho Hayo  yatafanyika  kuanzia tarehe 8-17 desemba katika ukumbi wa Century Cinemax Dar Free Market Oysterbay.
Balozi wa Japan nchini Tanzania Bw,Masaki Okada(wa kwanza kushoto) akizungumza jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(katikati) wakati wa uzinduzi  wa maonyesho ya 10 ya filamu za Asia.Aliyesimama pembeni yao ni katibu mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania Bi.Joyce Fisoo.
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Bi.Joyce Fisoo akifurahia jambo wakati  wa ufunguzi wa maonyesho ya 10 ya Filamu za Asia katika ukumbi wa Dar free Market jijini Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates