Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisafisha mtaro wa maji machafu kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majliwa akitoka eneo la shimoni kwenye soko kuu la 
Kariakoo kufanya usafi Desemba 9, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa wilaya ya
 Ilala, Raymond Mushi.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na umati ulioshiriki katika kufanya 
usafi kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam Desemba 9, 2015. 
Kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya ya Ilala, Raymond Mushi.
 Waziri
 Mkuu,Kassim Majliwa akiwa amezongwa na wananchi wakati alipokwenda 
kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar es salaam kufanya usafi Desemba 
9, 2015.
Baadhi
 ya washiriki wa zoezi la usafi kwenye soko kuu la Kariakoo jijini Dar 
es salaam wakipiga picha kwa kutumia simu wakati Waziri Mkuu, Kasim 
Majaliwa alipozunguza nao baada ya kufanya usafi sokoni hapo Desemba 9, 
2015.
 Gari
 alilopanda Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa likitoka kwenye eneo la soko 
kuu la Kariakoo alikokwenda kushiriki katika kufanya usafi Desemba 9, 
2015. 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment