Baadhi
ya Wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakifanya usafi
leo nje ya jengo la Kibasila akiwamo Mwenyekiti wa Khoja Shia
Ithnashery Jamaat ya jijini Dar es Salaam, Dewji Azim (katikati).
Kushoto
ni Mwanasheria wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Veronica Hillary,
Mkuu wa Idara ya Upasuaji, Dk Julieth Magandi, Mkurugenzi wa Upasuaji,
Dk John Kimario na Mwenyekiti wa Khoja Shia Ithnashery Jamaat ya jijini
Dar es Salaam, Dewji Azim wakifanya usafi leo Desemba 9 ambayo ni siku
ya kuadhimisha Uhuru wa Tanzania. Usafi huo umefanyika katika Jengo la
Kibasila.
Mkuu
wa Idara ya Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha (wa
pili kulia) akishiriki kufanya usafi katika hospitali hiyo leo Desemba
9, 2015.
Mkuu
wa Idara ya Sheria, Veronica Hillary, Ofisa Uhusiano Msaidizi, John
Stephen, Mkurugenzi wa Upasuaji, Dk John Kimario na Mkuu wa Idara ya
Upasuaji, Dk Julieth Magandi wakijumuika pamoja kufanya usafi leo katika
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ikiwa ni kuitikia agizo la Rais
John Pombe Magufuli la kufanya usafi leo Desemba 9, siku ya Uhuru.
0 comments:
Post a Comment