Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akishiriki kufagia na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la 
Oysterbay Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira 
ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama 
alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo 
limefanyika nchini kote hii leo Dec 9, 2015. 
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la 
Oysterbay- Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira 
ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama 
alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo 
limefanyika nchini kote hii leo.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akiwasili eneo la Kituo cha Daladala cha Morocco, kwa ajili ya kuendelea
 kushiriki na wananchi wa eneo hilo kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni 
sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza 
Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini 
kote hii leo 
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akiingia kukagua eneo la kuhifadhia Taka lililopo eneo la Kituo cha 
Daladala cha Morocco, wakati alipofika eneo hilo kwa ajili ya kuendelea 
kushiriki na wananchi kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya 
maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais 
Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii 
leo.
Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, 
akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wa eneo Morocco, wakati wa 
zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya 
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe 
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo.
 
 
 
 
 
 






 
 
0 comments:
Post a Comment