Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akishiriki kufagia na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la
Oysterbay Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira
ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama
alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo
limefanyika nchini kote hii leo Dec 9, 2015.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la
Oysterbay- Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira
ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama
alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo
limefanyika nchini kote hii leo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiwasili eneo la Kituo cha Daladala cha Morocco, kwa ajili ya kuendelea
kushiriki na wananchi wa eneo hilo kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza
Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini
kote hii leo
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiingia kukagua eneo la kuhifadhia Taka lililopo eneo la Kituo cha
Daladala cha Morocco, wakati alipofika eneo hilo kwa ajili ya kuendelea
kushiriki na wananchi kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais
Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii
leo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wa eneo Morocco, wakati wa
zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo.
0 comments:
Post a Comment