Mwenyekiti
 wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete 
akisalimiana na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib 
mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi,Ofisi 
Ndogo Lumumba.
 Mwenyekiti
 wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete 
akisalimiana na Katibu wa Sekretarieti Ndugu Anamringi Macha mara baada 
ya kuwasili kwenye ofisi za CCM Lumumba.
 Mwenyekiti
 wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete 
akisalimiana na wapenzi na wanachama wa CCM waliojitokeza kumpokea 
kwenye Makao Makuu ya Chama Ofisi Ndogo Lumumba.
Mwenyekiti
 wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisani 
kitabu cha wageni mara baada ya kuingia kwenye ofisi yake,waliosimama ni
 Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib (kulia) na Naibu 
Katibu Mkuu CCM (Bara) Ndugu Rajab Luhwavi.
 
 
 
 
 
 




 
 
0 comments:
Post a Comment