Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto),
akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja ,
wakati wa ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar
es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,
Sylvester Ambokile.
Kamishna
Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya
Ofisi za Idara ya Uhamiaji, wakati Katibu Mkuu huyo alipofanya ziara
katika Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam.
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (mwenye
tai),akipewa maelezo alipotembelea Dawati la Mapokezi wakati wa ziara ya
kikazi aliyoifanya Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji,Kurasini, jijijni
Dar es Salaam.
Afisa
Uhamiaji, Lilian Maleko akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (mwenye tai), jinsi taarifa za
muombaji pasi ya kusafiria zinavyohakikiwa, wakati wa ziara ya kikazi
Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment