Naibu
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto),
 akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja ,
 wakati wa  ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar 
es Salaam.  Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali  wa Uhamiaji, 
Sylvester  Ambokile.
 Kamishna
 Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester  Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya 
Ofisi za Idara ya Uhamiaji, wakati Katibu Mkuu huyo alipofanya ziara 
katika Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Kurasini jijini Dar es Salaam.
 Naibu
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (mwenye 
tai),akipewa maelezo alipotembelea Dawati la Mapokezi wakati wa ziara ya
 kikazi aliyoifanya Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji,Kurasini, jijijni 
Dar es Salaam.
 Afisa
 Uhamiaji, Lilian Maleko akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya 
Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (mwenye tai), jinsi  taarifa za 
muombaji pasi ya kusafiria zinavyohakikiwa, wakati wa ziara ya kikazi 
Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, jijini Dar es Salaam.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment