Naibu
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. John Mngodo 
akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya Kamishna Jenerali wa Magereza
 alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Novemba 13, 2015.
Kamishna
 Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akitoa taarifa fupi ya
 Hali ya Magereza nchini kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya 
Ndani ya Nchi, Bw. John Mngodo(katikati). Naibu Katibu Mkuu  yupo katika
 ziara ya kikazi katika Idara mbalimbali zinazounda Wizara ya Mambo ya 
Ndani ya Nchi(wa kwanza kulia) ni Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala, Wizara
 ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Stephen Pancras.
 Naibu
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. John Mngodo 
akiongea na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani). 
Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment