Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig. Mbazi Msuya (wa katika) akieleza jambo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki (wa kwanza kushoto) na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka (wa kwanza kulia) wakati wa ziara ya kukagua mtaro uliojengwa eneo la Buguruni kwa Mnyamani.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka (wa kwanza kulia mwenye miwani) pamoja na Mkuu
 wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Saidi Meck Sadiki wakiangalia hali ya 
daraja la Buguruni Visiwani walipofanya ziara ya maeneo yaliyoathiriwa 
na ugonjwa wa kipindupindu.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE LEO IKULU, DAR ES SALAAM
 Rais
 Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt 
Jakaya Mrisho Kikwete aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam kukabidhi 
rasmi Ofisi ya Rais leo Novemba 12, 2015
 
 Rais Dkt John Pombe Magufuli akipeana mikono kwa furaha na Rais Mstaafu
 wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete aliyefika Ikulu jijini Dar es
 salaam kukabidhi rasmi Ofisi ya Rais
  Rais
 Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na 
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Obeni Sefue alipofika Ikulu jijini Dar es 
salaam kukabidhi rasmi Ofisi ya Rais
 
  Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza  Rais Mstaafu wa Awamu ya 
Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete aliyefika Ikulu jijini Dar es salaam 
kukabidhi rasmi Ofisi ya Rais. Kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi 
Ombeni Sefue
 
 Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza  Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne
 Dkt Jakaya Mrisho Kikwete wakati akiongea kabla ya kukabidhi rasmi 
Ofisi ya Rais  Ikulu jijini Dar es salaam 
 Rais
 Dkt John Pombe Magufuli akipokea kwa furaha hati ya makabadhiano ya 
Ofisi kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete 
Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 12, 2015
|  | 
| Rais Dkt John Pombe Magufuli akipokea kwa furaha hati ya makabadhiano ya Ofisi kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 12, 2015 | 
 Rais
 Dkt John Pombe Magufuli akiiangalia kwa furaha hati ya makabadhiano ya 
Ofisi aliyoipokea kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya 
Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 12, 2015
 Rais
 Dkt John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho
 Kikwete, Makiamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu 
Kiongozi  baada ya hafla ya makabidhiano rasmi ya Ofisi  Ikulu jijini 
Dar es salaam kukabidhi rasmi leo Novemba 12, 2015
Rais
 Dkt John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho
 Kikwete, Makiamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan baada ya hafla ya 
makabidhiano rasmi ya Ofisi  Ikulu jijini Dar es salaam kukabidhi rasmi 
leo Novemba 12, 2015.
 
 
 
 
 
 









 
 
0 comments:
Post a Comment