Naibu
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi 
karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi  mara baada ya 
kuanza kazi rasmi  katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa 
Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni 
Mwenyekiti wa TUGHE,  Obedi Mbaga.
Mkurugenzi
 wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin 
Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo 
(hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati ya Watumishi na Naibu Katibu 
Mkuu huyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara.
Naibu
 Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, 
akizungumza na Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara 
hiyo.
Watumishi
 wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu 
mpya wa Wizara (hayupo pichani) alipofanya mkutano na watumishi hao mara
 baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo.(Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment