MBUNGE
 mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini 
Charles Mwijage akisalimiana na Godson Kaligo Mjumbe wa tawi la CCM 
Epress Social  lililopo mtaa wa Samora maarufu kwa Musa Shoeshine 
alipowatembelea wakati wa sherehe yao ya kusherehekea ushindi wa Rais 
Mteule Dr. John Pombe Magufuli mara baada ya kushinda katika uchaguzi 
mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote, Wana CCM hao 
wamesherehekea kwa muziki na kupata supu ya mbuzi na nyama choma huku 
wakiwakaribisha wananchi mbalimbali bila kujali itikadi zao kwani Dr 
John Pombe Magufuli ni Rais wa Watazania wote.(PICHA NA RASHID SHOTI-DAR
 ES SALAAM)
MBUNGE
 mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini 
Charles Mwijage akibadilishana mawazio na Godson Kaligo na wana CCM wa 
tawi hilo.
Katibu
 wa Tawi hilo Musa Mtulia ambaye pia ni Shoeshine Maarufu mtaa wa Samora
 akiendelea na kazi yake huku wana CCM wengine na wadau wengine 
wakiendelea na sherehe hiyo kwa kupata supu.
Kutoka
 kushoto ni Mwenyekiti wa tawi hilo Hassan Mneo. Mjumbe Godson Kaligo 
pamja na wadau wengine wakipata supu kutoka kulia ni Bw. Haogwa na Mzee 
Mnonji shabiki maarufu wa timu ya Simba.
Mwana CCM Richard Wambura  aliyesimama nyuma naye alijumuika na wana CCM wenzake wakati alipowatembelea tawini hapo
Hapa ni mwendo wa kutafuna mbuzi tu.
Mwenyekiti Hassan Mneo  kushoto na we nzake wakipata supu na kahawa katika wtawi hilo.
Katibu wa tawi Musa Mtulia akifurahi na wadau mbalimbali waliofika katika tawi hilo wakati wa sherehe hiyo.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment