Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa
 ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akizungumza leo na waandishi wa habari 
kuhusu mkutano wa siku tano ambao umekutanisha watalaam wa takwimu 
kutoka nchi mbalimbali barani Afrika kujadili Mfumo wa Uongozi Bora 
katika Ofisi za Takwimu pamoja na Uboreshaji wa Mitaala ya Ufundishaji 
wa Masomo ya Takwimu. Mkutano huo unafanyika katika hoteli ya Golden Tulip iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Ofisi
 ya Taifa ya Takwimu Afrika Kusini Risenga Maluleke akizungumza leo na 
waandishi wa habari kuhusu madhumuni ya mkutano wa watalaam wa takwimu 
kutoka nchi mbalimbali barani Afrika ambapo wamekutana kujadili Mfumo wa
 Uongozi Bora katika Ofisi za Takwimu pamoja na Uboreshaji wa Mitaala ya
 Ufundishaji wa Masomo ya Takwimu. Mkutano huo ni wa siku tano na 
unafanyika katika hoteli ya Golden Tulip iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu
 wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akizungumza leo Jijini 
Dar es Salaam wakati wa mkutano wa watalaam wa takwimu kutoka nchi 
mbalimbali barani Afrika ambao wamekutana kujadili Mfumo wa Uongozi Bora
 katika Ofisi za Takwimu pamoja na Uboreshaji wa Mitaala ya Ufundishaji 
wa Masomo ya Takwimu. Kushoto kwake ni Mtakwimu kutoka Kamisheni ya 
Uchumi Afrika Bw. Andry Andriantseheno.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment