Mwenyekiti wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (CCM) Bi. Zainabu Abdallah
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) alipokuwa akitoa
pongezi kwa Rais mteule wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli kwa niaba ya
Shirikisho hilo leo jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Habari( MAELEZO).
Mwenyekiti wa Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu (CCM) Bi. Zainabu Abdallah
(katikati)akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) alipokuwa akitoa
pongezi kwa Rais mteule wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli kwa niaba ya
Shirikisho hilo leo jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Habari( MAELEZO). Kushoto
ni Katibu Msaidizi wa Shirikisho hilo Bw. Daniel Zenda na kulia ni Afisa Habari
wa Idara ya Habari
0 comments:
Post a Comment