Ofisa Mwandamizi Masoko na Uhusiano wa UTT-AMISMfaume Kimario (kushoto) akitoa maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, James Doto alipotembelea Banda la Kampuni ya Uwekezaji Tanzania (UTT-AMIS) kwenye Maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Ofisa wa UTT AMIS kutoka Idara ya Uendeshaji, Said Mkomwa akitoa maelezo kuhusu faida ya uwekezaji wa pamoja.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa PPF, William Erio akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Kampuni ya Uwekezaji (UTT-AMIS) katika maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kulia ni Ofisa Masoko na Uhusiano wa UTT-AMIS, Waziri Ramadhani na Ligwa Temela kutoka Idara ya Fedha na Utawala.
Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la UTT-AMIS kwenye maonesho Biashara ya 40 ya Kimataifa yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa UTT-AMIS, Mather Mashiku.

Baadhi ya watu wakiwa katika banda la UTT-AMIS.

Ofisa Uendeshaji wa Kampuni ya Uwekezaji Tanzania UTT-AMIS, Lauren Chokola akitoa maelezo kwa watu waliofika katika banda la kampuni hiyo.

0 comments:
Post a Comment