Meneja
 Chapa (Pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL),Shomari Shija 
(wa kwanza kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) 
wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie Walker iliyopewa jina la 
“Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la kuhamasisha watu kuwa na 
utamaduni wa kupenda na kufurahia kile wanachokifanya katika kujiletea 
maendeleo binafsi. (katikati) ni Mkuu wa masoko bidhaa za pombe kali za 
Diageo-Serengeti Breweries Limited (SBL), Stanley Samtu na kulia ni Dj 
maarufu kutoka Ireland Frank Jez. “Johnnie Walker” ni chapa maarufu ya 
pombe kali inayosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti hapa nchini.
 Mkuu
 wa masoko bidhaa za pombe kali za Diageo-Serengeti Breweries 
Limited(SBL), Stanley Samtu (katikati) akizungumza na waandishi wa 
habari (Hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie 
Walker iliyopewa jina la “Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la 
kuhamasisha watu kuwa na utamaduni wa kupenda na kufurahia kile 
wanachokifanya katika kujiletea maendeleo binafsi. (Kushoto) ni Meneja 
Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija na
 (kulia) ni Dj maarufu kutoka Ireland Frank Jez. “Johnnie Walker” ni 
chapa maarufu ya pombe kali inayosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti
 hapa nchini.
 Mkuu
 wa masoko bidhaa za pombe kali za Diageo-Serengeti Breweries 
Limited(SBL),Stanley Samtu (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa 
habari (Hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie 
Walker iliyopewa jina la “Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la 
kuhamasisha watu kuwa na utamaduni wa kupenda na kufurahia kile 
wanachokifanya katika kujiletea maendeleo binafsi. (Kushoto) ni Meneja 
Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija na
 (kulia) ni Dj maarufu kutoka Ireland Frank Jez. “Johnnie Walker” ni 
chapa maarufu ya pombe kali inayosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti
 hapa nchini.
Mkuu wa 
masoko bidhaa za pombe kali za Diageo-Serengeti Breweries Limited (SBL),
 Stanley Samtu (kushoto), Meneja Chapa (pombe kali) wa Kampuni ya bia ya
 Serengeti (SBL) Shomari Shija (kulia) na Dj maarufu kutoka Ireland 
Frank Jez (katikati) wakionyesha bidhaa mbalimbali za Johnnie Walker 
wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya Johnnie Walker iliyopewa jina la 
“Furaha itakufikisha mbali” yenye lengo la kuhamasisha watu kuwa na 
utamaduni wa kupenda na kufurahia kile wanachokifanya katika kujiletea 
maendeleo binafsi. “Johnnie Walker” ni chapa maarufu ya pombe kali 
inayosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti hapa nchini.
CHAPA
 maarufu ya pombe kali inayosambazwa na Kampuni ya bia ya Serengeti 
Breweries “Johnnie Walker” imezindua kampeni mpya iliyopewa jina la 
“Furaha itakufikisha mbali” siku ya leo katika hoteli ya Serena jijini 
Dar es salaam ikiwa na lengo la kuwahamasisha watu kuwa na furaha katika
 kila wanachokifanya kwa vile furaha huleta maendeleo na sio kinyume 
chake kama wengi wanavyodhani.
Akizungumza
 na waandishi wa habari kwenye uzinduzi wa Kampeni hiyo katika hoteli ya
 Serena, Mkuu wa kitengo cha Masoko pombe kali wa Kampuni ya bia ya 
Serngeti (SBL) Stanley Samtu alisema “Kama chapa, Johnnie Walker 
imesimama daima kwenye upande wa maendeleo. Imekuwa hivyo kwa miaka 
takribani 200 tangu mwanzilishi Johnnie Walker alipoanza ufundi wake.
 Uzoefu
 umetufundisha kwamba maendeleo hayatakiwi kuwa safari ya kupanda tu na 
isiyo na kikomo bali tunaweza kupiga hatua na kufurahia katika malengo 
tunayoweza kuyafikia kila kukicha. Hiyo ndio maana halisi ya kampeni hii
 ya Furaha itakufikisha mbali zaidi”.
Kufurahia
 kile unachokifanya ni sehemu kubwa na muhimu ya kufanikiwa na kuwa na 
maendeleo. Katika juhudi za kufikisha ujumbe kwa wahusika, Johnnie 
Walker inategemea kuwamulikia baadhi ya nyota katika fani mbalimbali 
waliojizolea umaarufu kutokana na mafanikio walioyafikia. Hawa ni pamoja
 na Sheria Ngowi wa tasnia ya mitindo, Dj Frank Jez kutoka Ireland na Dj
 Peter Mo. Vijana hawa wote wamebobea katika kile wanachokifanya na 
wamekuwa mfano wa kuigwa nchini. 
Wamekuwa
 sehemu ya dunia ya watu ambao wanaaamini kuwa chanya siku zote katika 
kazi ni moja kati ya vitu viliyowasaidia kufika mbele zaidi katika fani 
zao.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment