Katibu
 Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) 
akimkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya 
Rais-Utumishi Bw.Mathew Kirama fomu maalum ya kuweka Ahadi ya Uadilifu 
kwa Watumishi wa Umma mapema leo ofisini kwake.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. Tixon Nzunda (kushoto) akielekeza namna ya kutoa Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma zoezi lililofanyika mapema leo Ofisi ya Rais-Utumishi jijini Dar es Salaam.
Katibu
 Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu akitia saini fomu ya Ahadi ya
 Uadilifu kwa watumishi wa Umma ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya 
Rais-Utumishi Bw. Tixon Nzunda (kulia) ofisini kwake mapema leo.
 Wakuu
 wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakila kiapo cha 
 Uadilifu kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto)
 mapema leo. 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment