Mgeni Rasmi, Naibu Katibu Mkuu, 
Wizara ya Fedha,  Prof. Adolf Mkenda akihutubia wadau mbalimbali wa 
takwimu katika maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo 
Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora 
kwa Maisha Bora”.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa 
ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo ya utangulizi katika katika 
maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es 
Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora kwa Maisha 
Bora”
Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia, 
Habari na Mawasiliano Dkt. Carina Wangwe kutoka Mamlaka ya Usimamizi na 
Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) akielezea umuhimu wa 
kujiunga katika Mifuko ya Hifadhi za Jamii wakati wa maaadhimisho ya 
Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo 
yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora kwa Maisha Bora”.
Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki
 mwa Afrika Prof. Innocent Ngalinda akielezea umuhimu wa takwimu rasmi 
katika kupanga na kutathmini programu mbalimbali za maendeleo nchini 
wakati wa maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo 
Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora 
kwa Maisha Bora”.
Baadhi ya wadau mbalimbali wa 
takwimu wakifuatilia kwa makini matukio yaliyokuwa yakiendelea kwenye 
maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo Jijini Dar es 
Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu ya “Takwimu Bora kwa Maisha 
Bora”.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ofisi ya 
Taifa ya Takwimu Prof. Milline Mbonile akiwa katika picha ya pamoja na 
viongozi wa ofisi hiyo pamoja na viongozi wa Chuo cha Takwimu Mashariki 
mwa Afrika baada ya kumaliza maaadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika 
yaliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam ambayo yameongozwa na kauli mbiu 
ya “Takwimu Bora kwa Maisha Bora
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment