Pages

Ads 468x60px

Monday, November 23, 2015

UNIDO YAPIGA JEKI VIWANDA VIDOGO VYA MAFUTA YA ALIZETI DODOMA

IMG_2196
Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho kinavyofanya kazi zake kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) aliyeambatana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (kushoto), Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum (kulia) pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la FAO nchini, Patric Otto kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa mjini
IMG_2275
Pichani ni madumu yaliyojazwa mafuta ya alizeti kiwandani hapo yakisubiri kuwekwa nembo maalum na tayari kuingia sokoni kwa mlaji..
IMG_2521 IMG_2522 IMG_2566
Pichani juu na chini ni miche na vitalu vya Zabibu kabla ya kupelekwa shambani.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates