Meneja
 Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & 
Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho
 kinavyofanya kazi zake kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja
 wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro 
Rodriguez (wa pili kushoto) aliyeambatana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika
 la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (kushoto), Mwakilishi
 Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum (kulia) pamoja na 
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la FAO nchini, Patric Otto kukagua miradi 
inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa mjini 
Pichani
 ni madumu yaliyojazwa mafuta ya alizeti kiwandani hapo yakisubiri 
kuwekwa nembo maalum na tayari kuingia sokoni kwa mlaji..
Pichani juu na chini ni miche na vitalu vya Zabibu kabla ya kupelekwa shambani.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment