Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika Boti kuelekea katika 
kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya kuwatembelea wanafunzi wa madrasa na 
wananchi mbalimbali katika ziara yao ya siku mbili ili kujenga urafiki 
baina yao na watu wa Zanzibar.
 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika Kisiwa cha Tumbatu kwa 
ajili ya kuwatembelea wanafunzi wa madrasa na wananchi mbalimbali katika
 ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa 
Zanzibar.
 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwasalimia wanafunzi wa madrasa na
 walimu waliokuja kuwa pokea katika Kisiwa cha Tumbatu katika ziara yao 
ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.
 -Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika picha ya pamoja 
na  wanafunzi wa madrasa na walimu  katika Kisiwa cha Tumbatu katika 
ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa 
Zanzibar.
 -Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakipata dua kwa Mzee wa Kisiwa cha 
Tumbatu na kutoa msaada wa chakula ikiwa pamoja na Mchele Unga wa 
ngano,Sukari na Mafuta ya kupikia  katika ziara yao ya siku mbili ya 
kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.
Kiongozi wa Wanafunzi Omar akimkabidhi Mzee wa kijiji cha Tumbatu 
Msaada wa Chakula katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki 
baina yao na watu wa Zanzibar
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment