Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na 
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo, Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele
 ya logo ya NHC) ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya 
nyumba nchini na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la 
Tanzania, Nehemia Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya 
siku mbili ya mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la 
Tanzania unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha 
Shirika zaidi Shirika la NHCC Uganda.
  Ujumbe wa Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na 
Afisa Mtendaji Mkuu Parity Twinomujuni (aliyeketi mbele ya logo ya NHC) 
ukijadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya nyumba nchini na 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa la Tanzania, Nehemia 
Kyando Mchechu. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya 
mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania 
unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi 
Shirika la NHCC Uganda.
Mojawapo
 ya nyumba za NHC Mwongozo zilizotembelewa na Ujumbe wa Shirika la 
Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) ukiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu 
Parity Twinomujuni. Ujumbe huo umekuwapo katika ziara ya siku mbili ya 
mafunzo nchini kujifunza namna utendaji wa Shirika la Tanzania 
unavyofanyika ili waweze kupata njia za kuweza kuboresha Shirika zaidi 
Shirika la NHCC Uganda.
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) 
Balozi Agnes Kadama Kalibbala na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la 
Nyumba la Taifa la Uganda (NHCC) Parity Twinomujuni wakifuatilia 
mawasilisho yaliyokuwa ya kifanywa na Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba 
la Taifa la Tanzania jana.
 
 
 
 
 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment