Mratibu
Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akizundua rasmi
ripoti ya mwaka 2015 inayohusu Teknolojia na Ubunifu, ambayo imetolewa
na shirika la Umoja wa Mataifa la linaloshughulikia Biashara na
Maendeleo (UNCTAD). Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na
Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula na kushoto ni Dkt.
Bitrina Diyamett kutoea Taasisi ya Utafiti wa Sera ya Sayansi,
Teknolojia na Ubunifu (STIPRO).
Mratibu
Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez, Dkt. Bitrina
Diyamett na Bw. Bernard Achiula kwa pamoja wakionyesha ripoti hiyo kwa wageni waalikwa na wanahabari.
Naibu
Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw.
Bernard Achiula akitoa neno la ukaribisho kwa wageni waalikwa kabla ya
kumkaribisha Mratibu Mkazi wa UN nchini, Bw. Alvaro Rodriguez (hayupo
pichani).
Mratibu
Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumza
wakati wa uzinduzi wa ripoti ya mwaka 2015 inayohusu Teknolojia na
Ubunifu, ambayo imetolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la
linaloshughulikia Biashara na Maendeleo (UNCTAD).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula (suti nyeusi) mara baada ya kuwasili wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano wa Mozambique uliopo katika Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment