Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya
Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu,
Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo
inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza.
Katikati ni Msajili wa Mahakama Kuu, Ilvin Mugeta.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa kuwa
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es
Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari
Polisi na Magereza.
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu,
Shabani Lila (kushoto) akimpongeza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Charles Kitwanga mara baada ya kumuapisha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza, katika tukio lililofanyika
katika Mahakama hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia
masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza.
0 comments:
Post a Comment