Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 
Charles Kitwanga akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya 
Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, 
Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo 
inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza. 
Katikati ni Msajili wa Mahakama Kuu, Ilvin Mugeta. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 
Charles Kitwanga akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa kuwa 
Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza mbele ya 
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, Shabani Lila (kushoto) jijini Dar es 
Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia masuala ya kiutumishi kwa askari 
Polisi na Magereza. 
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu, 
Shabani Lila (kushoto) akimpongeza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, 
Charles Kitwanga mara baada ya kumuapisha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya 
Utumishi ya Jeshi la Polisi na Magereza, katika tukio lililofanyika 
katika Mahakama hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Tume hiyo inashughulikia
 masuala ya kiutumishi kwa askari Polisi na Magereza. 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment