Pages

Ads 468x60px

Wednesday, January 6, 2016

tukio la kuzuka moto Wizara ya Mambo ya ndani Dar leo



Huenda umekutana na stori mitandaoni au picha kuhusu tukio la ajali ya moto katika jengo la Wizara ya Mambo ya ndani, posta Dar es Salaam.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Advera Senzo Bulimba amesema ni kweli kulitokea cheche za moto katika jengo hilo katika ghorofa ya nne, taarifa zikatolewa kwa vikosi vya zimamoto ambao walifika na kugundua kuwa chanzo cha moto huo ilikuwa kwenye cyling board.
874f5f29-fcff-48ea-a1c5-5f14ac4a5559Hakuna mfanyakazi yoyote katika jengo hilo aliyedhurika kutokana na tukio hilo na kikosi cha zimamoto waliweka kuuzima kila kitu kikawa sawa.
34dd75ff-dda9-4f1b-a8a4-154b55fae972
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SSP Advera Senzo Bulimba
01209479-1925-4f80-90e5-2a790eb33c08
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa nje ya Jengo la Wizara hiyo.
e56e04e6-f869-423d-aec9-26f83d541c37
Baadhi ya askari wakitoka nje ya jengo hilo baada ya kutokea tukio hilo.
     f4c76bbe-4024-418e-b86f-bb6f5d03f63e

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates