Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Afisa Uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam, Naibu Kamishna, Johannes 
Msumule akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari ambapo Naibu 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni alizungumzia
 hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi na kufanya 
kazi nchini kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao Makuu ya 
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo 
ya Ndani ya Nchi, Mhe. Hamad Yussuf Masauni, wakati wa mkutano wa 
kuzungumzia hatua zinazochukuliwa na Wizara kudhibiti wageni wanaoishi 
nchini na kufanya kazi kinyume na sheria. Mkutano huo ulifanyika Makao 
Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi jijini Dar es Salaam.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment