Askari
wakipita karibu na kiwanda cha urafiki jijini Dar es Salaam huku
wakiwaangalia kwa makini wafanyakazi wa kiwanda hicho waliomo katika
mgomo wakidai manejimenti yakiwanda hicho kiasi cha shilingi Bilioni 9.
Bidhaa
zinazouzwa katika moja ya eneo la kiwanda cha urafiki yaliyokodishwa na
uongozi wa menejimenti ya kiwanda hicho unaolalamikiwa na wafanyakazi
kwamba wanajipatia mapato kwenye maeneo ya kiwanda hicho huku wao
wakiwalipa kiduchu.
Baadhi
ya wafanyakazi wa kiwanda cha urafiki wakiwa kwenye geti la kuingilia
kiwandani hapo wakimngoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ili
kuzungumza nao.
Mkuu
wa Wilaya ya kinondoni Paul Makonda, akiwasili na msafara wake kiwandani
hapo kwa ajili ya kuzungumza na wafanyakazi walio katika mgomo.
Mkuu wa Wilaya ya kinondoni Paul Makonda akizungumza na wafanyakazi wa Kiwanda cha Urafiki leo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa kiwanda cha Urafiki wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
0 comments:
Post a Comment