Mwenyekiti
 wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kulia) 
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es 
Salaam kuhusu uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa kufanyika Tarehe 
13/12/2015 katika jimbo Handeni na Arusha Mjini, (kushoto) ni Kaimu 
Mkurugenzi Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bw.Clarence Nanyaro 
kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
 Baadhi
 ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya 
Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva(ambaye hayupo katika picha) leo 
jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waaandishi wa habari 
kuhusu taratibu zitakazo tumika katika uchaguzi wa wabunge katika jimbo 
la Arusha na Handeni.
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment