Meneja
 Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando pamoja na Afisa Masoko Intaneti  wa
 Airtel , Eric Daniel wakionyesha huduma mpya ya Airtel Care 
itakayowawezesha wateja wa Airtel kudownload application na kupata 
huduma zote kwa urahisi kupitia simu zao .
Afisa
 Masoko Intaneti  wa Airtel , Eric Daniel (kushoto) akionyesha kwenye 
simu huduma mpya ya Airtel Care itakayowawezesha wateja wa Airtel kupata
 kudownload application ijulikanayo kamaAirtel Care na kupata huduma 
zote kwa urahisi. Akishuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson 
Mmbando. 
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 
 
 
 
 


 
 
0 comments:
Post a Comment