Pages

Ads 468x60px

Wednesday, November 25, 2015

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA


 Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
 National Programe Officer wa UNAIDS, Fredrick Macha (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
 Mkurugenzi wa Uendeshaji Programu wa Taasisi ya Tunajali, Dk.Mussa Ndile akizungumza katika mkutano huo.
 Ofisa Uhusiano wa Tacaids (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
 Wapiga picha wa TV wakichukua tukio hilo.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wadau wa masuala ya Ukimwi wakiwa katika mkutano huo wakisubiri kujibu maswali ya wanahabari.

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates