Pages

Ads 468x60px

Wednesday, November 25, 2015

PAPA FRANCIS ALAKIWA NA RAIS UHURU KENYATA JIJINI NAIROBI




Papa Francis akisalimiana na Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta wakayi alipowasili nchini Kenya leo ambapo atakuwa na ziara ya siku sita katika nchi za Afrika. Kushoto ni Mke wa Rais Kenyatta, Magret Kenyatta. 
Papa Francis  amewasili jana nchini Kenya hapo jana,ambapo anatarajia kuwa na ziara ya siku sita  katia nchi za Afrika kiwemo Uganda.

 Papa Francis akizungumza jambo na Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta mara baada ya kuwasili nchini Kenya jana ,ambapo leo atakuwa na ziara ya siku sita katika nchi za Afrika. Kushoto ni Mke wa Rais Kenyatta, Magret Kenyatta.
  Papa Francis akisaini kitabu cha wageni Ikulu,huku
Rais wa Kenya, Mh. Uhuru Kenyatta na Mkewe Magret wakishuhudia


 Picha ya Pamoja na Marais Wastafu wa Kenya,Mh Daniel Arap Moi na wa pili kutoka kulia ni Mwai Kibaki

0 comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates