Eda
 Malick kutoka Tanzania Women and Children Welfare center akizungumza na
 waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa
 kijinsia
 Afande
 Christina Onyango, Afisa wa Polisi, mkoa wa kipolisi Ilala akielezea
namna ambavyo dawati la jinsia wamejipanga kufikisha ujumbe wa siku 16
za kupinga ukatili wa kijinsia.
  Waandishi
 wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini Tanzania wakihudhuria mkutano
 na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa
 kijinsia.
 Bahati
 Mandago kutoka shirika la Tanzania Human Rights fountain akielezea
mikakati ya shirika lake katika kufikisha ujumbe wa Funguka. Chukua
Hatua Mlinde Mtoto apate elimu.
 
 
 
 
 
 





 
 
0 comments:
Post a Comment